• Malalamiko |
    • Wasiliana Nasi |
    • Maswali na Majibu |
    • Barua Pepe ya Ofisi |
UVINZA DISTRICT COUNCIL
UVINZA DISTRICT COUNCIL

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Misingi Mikuu
    • Mikakati
  • Idara/Vitengo
    • Muundo wa Utawala
    • Idara
      • Utawala na Rasilimali Watu
      • Mpango na Takwimu
      • Afya
      • Fedha na Biashara
      • Elimu ya Msingi
      • Elimu Sekondari
      • Kilimo, Umwagiliaji na Ushirika
      • Ufugaji na Uvuvi
      • Ardhi na Maliasili
      • Maendeleo yaJamii na Ustawi wa Jamii
      • Ujenzi na Zima Moto
      • Maji
      • Usafi na Mazingira
    • Kitengo
      • TEHAMA
      • Mkaguzi wa Ndani
      • Sheria
      • Uchaguzi
      • Ugavi na Manunuzi
      • Nyuki
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya kitalii
    • Kilimo
    • Ufugaji
  • Huduma Zetu
    • Afya
    • Elimu
    • Maji
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Uvuvi
  • Madiwani
    • Orodha ya Madiwani
    • Kamati za kudumu
      • Fedha Uongozi na Mipango
      • Mipango miji na mazingira
      • Elimu, Afya na Maji
      • UKIMWI
      • Maadili
    • Ratiba
      • Vikao vya Whe. Madiwani
      • Kuonana na Mhe. Mwenyekiti
  • Miradi
    • Miradi Itakayo Tekelezwa
    • Miradi Inayoendelea
    • Miradi iliyokamilika
  • Machapisho
    • Sheria Ndogo
    • Mkataba wa Huduma kwa Wateja
    • Mpango Mkakati
    • Ripoti Mbalimbali
    • Fomu Mbalimbali
    • Miongozo Mbalimbali
  • Kituo Cha Habari
    • Taarifa kwa Umma
    • Video za Shughuli za Ofisi/Kitaifa
    • Hotuba za Viongozi Mbalimbali
    • Maktaba ya Picha

UPOKEAJI WA MABOMBA YA MAJI KATIKA WILAYA YA UVINZA

Posted on: February 11th, 2022

Mkuu wa wilaya ya Uvinza Mh. Hanafi Msabaha amepokea  mabomba ya Mradi wa Maji .

Mkuu wa Wilaya ya Uvinza Mh. Hanafi Msabaha amepokea  mabomba  ya  Mradi wa Maji wa  Mlela- Kandaga  unaofadhiliwa kuputia fedha za UVICO 19 kwa ajili ya utekelezaji wa mradi wa maji. Jana katika eneo la mradi Mlela.

  Meneja RUWASA Wilaya ya Uvinza, Mhandisi Jefta Alphonnce Julius akitoa maelezo ya Mradi wa Maji Mlela-Kandaga mbele ya Mkuu wa wilaya ya Uvinza Mh. Hanafi Msabaha

Upatikanaji wa huduma ya maji safi na salama umefikia hatua za utekelezaji ambapo unategemea kuongezeka kutoka asilimia 51 kwa mwaka 2019 hadi asilimia 59  ifikapo 2021 kuongezeka kwa kupitia fedha za mapambano zidi ya UVICO 19  kutatua changamoto ya wananchi kufikiwa na maji.

Akizungumza na wananchi wa maeneo ya Kandaga na Mlela, Mkuu wa wilaya ya Uvinza Mh.Hanafi Msabaha.

Akikagua mabomba hayo Mh.Hanafi Msabaha Mkuu wa wilaya ya Uvinza amewataka wananchi kushiriki kwenye mradi huo kwa kutunza miundo mbinu ya maji kwa lengo la kufikia ongezeko lililokusudiwa.

Meneja wa RUWASA wilaya ya Uvinza, Mhandisi Jefta Alphonce Julius akionyesha mabomba ya maji kwa ajili ya Mradi wa  Maji Mlela-Kandaga


Matangazo

  • TANGAZO LA NAFASI ZA KAZI. June 05, 2022
  • MAONESHO YA BIASHARA KIGOMA May 07, 2022
  • MAONESHO YA BIASHARA MKOA WA KIGOMA May 07, 2022
  • KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI May 06, 2022
  • Angaliza Zote

Taarifa za hivi Punde

  • Mafanikio ya mwaka mmoja Wilaya ya Uvinza.

    June 23, 2022
  • Kikao cha Ukaguzi na uthibiti wa hesabu za serikali.

    June 22, 2022
  • KIKAO CHA KAMATI YA SENSA WILAYA YA UVINZA

    June 15, 2022
  • Ubomoaji wa mnara wa simu Wilaya ya Uvinza

    May 23, 2022
  • Angaliza Zote

Video

MAELEZO YA Mhe. Mkuu wa Wilaya ya Uvinza na Mkurugenzi Mtengaji Kuelekea Nanenane 2020
Video Zaidi

Kurasa za Karibu

  • News

Kurasa Mashuhuri

  • TAMISEMI
  • BARAZA LA MITIHANI
  • Utumishi na Utawala Bora
  • TOVUTI YA MKOA WA KIGOMA
  • SALARY SLIP

World visitors tracker

world map hits counter

Wasiliana Nasi

    Uvinza - Lugufu Area

    Sanduku la Posta: P.O Box 12 UVINZA

    Simu ya Mezani: 0282988503

    Simu: 0757894484

    Barua Pepe: ded@uvinzadc.go.tz

Other Contacts

   

Visitors Counter

writingMasterThesis

    • Privacy Policy
    • Disclamer
    • Maswali na Majibu
    • Sitemap
    • Huduma

Haki Miliki©2017 Halmashauri ya Wilaya ya Uvinza . Haki zote zimehifadhiwa.